Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G.Mweli

Bw. Gerald G.Mweli
Katibu Mkuu

Dkt. Stephen J. Nindi

Dkt. Stephen J. Nindi
Naibu Katibu Mkuu (Ushirika na Umwagiliaji)

Dkt. Hussein M. Omar

Dkt. Hussein M. Omar
Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)

Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akizungumza katika Mkutano wa Taifa wa Wadau wa Tasnia ya Mbegu tarehe 15 Mei 2025 uliofanyika katika Ukumbi wa Midland Hotel, jijini Dodoma. Waziri Bashe amesema Serikali iko mbioni kutunga Sheria itakayowabana wauzaji wa mbegu, viuatilifu na mbolea feki ili waweze kuhukumiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi kuanzia msimu ujao wa kilimo.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
AGRICULTURE ANNUAL REPORTS, 2022/2023 - 2023/2024
Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akifanya makabidhiano ya Magari 38 yenye thamani ya shilingi Bilioni 4.2 kwa ajili ya kusimamia na kutekeleza majukumu ya Sekta ya Kilimo; pamoja na magari 7 ya mitambo ya Uchimbaji Visima tarehe 12 Mei 2025, jijini Dodoma.
Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akikabidhi magari 20 kwa Wizara ya Kilimo kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu ya kiutendaji kwa ufanisi zaidi, makabidhiano hayo yamefanyika tarehe 12 Mei 2025, jijini Dodoma.
Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akizindua Magari 38 yenye thamani ya shilingi Bilioni 4.2 kwa ajili ya kusimamia na kutekeleza majukumu ya Sekta ya Kilimo; pamoja na magari 7 ya mitambo ya Uchimbaji Visima tarehe 12 Mei 2025, jijini Dodoma.
Slide Photo
Magari 38 yenye thamani ya shilingi Bilioni 4.2 pamoja na magari 7 ya mitambo ya Uchimbaji Visima yaliyozinduliwa na Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) kwa ajili ya kusimamia na kutekeleza majukumu ya Sekta ya Kilimo. Makabidhiano hayo yamefanyika tarehe 12 Mei 2025, jijini Dodoma.
Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akikabidhi Magari 38 yenye thamani ya shilingi Bilioni 4.2 kwa ajili ya kusimamia na kutekeleza majukumu ya Sekta ya Kilimo; pamoja na magari 7 ya mitambo ya Uchimbaji Visima tarehe 12 Mei 2025, jijini Dodoma.
Slide Photo
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya Magari 38 yenye thamani ya shilingi Bilioni 4.2 kwa ajili ya kusimamia na kutekeleza majukumu ya Sekta ya Kilimo; pamoja na magari 7 ya mitambo ya Uchimbaji Visima tarehe 12 Mei 2025, jijini Dodoma.