Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Kilimo

Bw. Gerald G.Mweli

Bw. Gerald G.Mweli
Katibu Mkuu

Dkt. Stephen J. Nindi

Dkt. Stephen J. Nindi
Naibu Katibu Mkuu (Ushirika na Umwagiliaji)

Mha. Athumani Juma Kilundumya

Mha. Athumani Juma Kilundumya
Naibu Katibu Mkuu (Umwagiliaji na Zana za Kilimo)

Slide Photo
Ushiriki wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uzinduzi wa kiwanda cha ITRACOM Fertilizers Ltd. tarehe 28 Juni 2025, jijini Dodoma ambapo Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Meja Jenerali (Mst) Evariste Ndayishimiye ameshuhudia uzinduzi huo wa kihistoria unaotokana na mwekezaji kutoka nchini Burundi. Kiwanda cha ITRACOM Fertilizers Limited kina uwezo wa kuzalisha tani milioni moja (1,000,000) kwa mwaka kwa kutumia mitambo 5 ya kisasa inayozalisha tani laki mbili (200,000) kila moja kwa mwaka. Baadhi ya malighafi za samadi zinazozalishwa ni pamoja na mbolea asili kwa ajili ya kilimo hai, uchakataji wa mawe ya chokaa- kilimo, uchakataji wa madini ya fosifeti. Malighafi hizo huchanganywa na mbolea za kawaida za Urea, DAP na MOP ili kutengeneza mbolea za FOMI ambazo ni rafiki kwa udongo na mazingira. Hafla hiyo imehudhuriwa na Viongozi mbalimbali kutoka Burundi na Serikali ya Tanzania wakiwemo Mhe. Hussein Bashe (Mb), Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, Naibu Waziri wa Kilimo, Bw. Gerald Mweli. Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Menejimenti ya Wizara ya Kilimo na Wakuu wa Taasisi za Wizara.
Slide Photo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) katika uzinduzi wa kiwanda cha mbolea cha ITRACOM tarehe 28 Juni 2025, jijini Dodoma.
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo
Slide Photo