Dkt. Hussein M. Omar Naibu Katibu Mkuu (Maendeleo ya Mazao na Usalama wa Chakula)
Mkoa wa Morogoro umejipanga kukuza mapato yake ukichangiwa kwa kiasi kikubwa na Sekta ya Kilimo kutoka pato la shilingi milioni 800 hivi sasa hadi kufikia shilingi bilioni 2 na kuendelea kwa miaka mitatu hadi minne ijayo.
.
.
.
.
.
.
.
Mhe. Hussein Bashe (Mb), Waziri wa Kilimo wa Tanzania amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Edmond Ocirielli, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia tarehe 13 Februari 2025, mjini Roma, nchini Italia.